Nipo Likizo ya Mapenzi:-Nay wa Mitego

Msanii Nay wa mitego amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yupo single na wala hataki tea kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mpaka pale atakapopata mwanamke ambae anaweza kusema kuwa huyo anaweza kufunga nae ndoa .

unajua kuwa mimi nina watoto kwaio kwanza lazima niw na mtu ambae anajua kuwa mimi ninawapenda watoto wangu, lakini pia inabidi watoto wangu waenjoy kuwa na yeye lakini sipendi kutaja sifa za mwanamke ninayemtaka wasije wakajipanga na kujitengeneza.

kuna muda unaona kabisa kuwa watoto wanaitaji kuwa na mama lakini pia familia inakutaka uoe.

Hivi karibuni Nay aliachana na mpenzi wake ambae alikuwa pia ni msanii katika studio yake , Nini.hata hivyo nay alikiri kuwa yeye ndio alikuwa sababu ya kutokuelewana lakini mpenzi wake huyo hakutaka maelewano.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.