Nishatembea na Wanawake Zaidi ya Elfu Moja :-Calisah

MWANAMITINDO Maarufu  sana mjini kutokana na kazi yake, Calisah Abdulhamid amefunguka kwa mara nyingine tena na kusema  kuwa katika ukuaji wake mpaka sasa alipofikia sasa katika sanaa ameshatembea na wanawake wapatao elfu moja, kwa sababu ilifika kipindi kila siku alikuwa akitembea nao watatu

Calisah aliliambia Risasi Jumamosi kuwa, kabla hajawa staa alishatembea na wanawake kama wengi na baada ya kuwa staa akatembea na wengine zaidi na hii yote inatokea kwa sababu asilimia kubwa ya wanawake walikuwa wanajipeleka wenyewe.

download latest music    

Waache kujirahisisha na waamini kwamba wanaweza kuwatengeneza wanaume wao wenyewe, waache tamaa kuna watu wananitamani na wanataka kuwa na mimi kimapenzi kwa sababu nina jina, navutia, lakini hawajui kama kuna mtu alimtengeneza Calisah tangu yupo chini au kuna kipindi nakosa kabisa pesa, lakini kuna mtu ananielewa na maisha yanasonga mbele, hivyo nawasihi dada zangu wajiamini,” alisema Calisah

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.