“Nisipobahatika kupata mtoto nitafunga uzazi” Wema Sepetu asema

Image: Wema Sepetu

Tanzanian sweetheart Wema Sepetu hi karibuni alifunguka kuhusu suala la kupata mtoto katika mahojiano aliyofanya na gazeti la Ijumaa Wikienda hivi karibuni.

Mrembo huyu ambaye ni mmoja wa waigizaji ambao wamefanya vizuri kwenye industry ya Tanzania amedai kuwa kwa sasa akona mpenzi ambaye wametulia pamoja na pia wanajaribu kupata mtoto pamoja.

download latest music    
Wema Sepetu

Aliendelea kwa kudai kuwa baada ya kupoteza mapacha wake imemchukua muda kuwasahau lakini kila kitu hufanyika kwa nguvu za mwenyezi mungu.

Hata hivyo aliweka wazi kuwa asipopata mtoto kabla ya kufikia miaka 32 basi atafunga kizazi. Lakini akona uhakika kuwa atapata mtoto kwani amepata ufumbuzi wa kitaalam na kujua tatizo lake ni lipi. Alisema;

Ndiyo na tena safari hii nisipobahatika kupata mtoto hadi ninafikisha umri wa miaka 32 (kwa sasa ana 29), nitafunga kizazi.

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua