Nitachagua Wanaume Kama Karanga;- Esma

Dada wamsanii Diamond amefunguka na kusema kuwa kwake kuwa na wanaume tofauti tofauti wala sio shida kwa sababu alishajifunza kutokana nawanaume wa nyuma ambao aliwahi kuwa nao katika mahusiano kipindi cha nyuma jinsi walivyomuumiza.

Esma anasema kuwa swala la kuumizwa limemfanya kuwa na muda mrefu sana wa kuchagua mwanaume kabla hajaingia nae katika mahusiano huku akisema kuwa atakuwa anachagua mwanaume kama karanga ili kujifunza kutokana na makosa aliyowahi kuyafanya na kuumizwa na mapenzi.

download latest music    

Esma anasema kuwa kwa muda mrefu sana amekuwa akivumilia kukaa kimya katika ndo yake na petit lakini alikuwa anaumia lakini hakutaka kuongea chochote mpaka yalipokuta kubumbuluka katika mitandao ya kijamii lakini amekuwa akiumia sana.

Ukiumwa na nyoka basi hata ukiona jani tu unakuwa unashtuka sana, na haya ndio yamenikuta na mimi sasa hivi, ila kwa sasa nimejifunza sana kabla yai. kumuamini mwanaume nitamkagua hata mwaka mzima ndio nianze kuwa na mhausiano nao la sio wala siwezi.

Wiki iliyopita Mange kimambi aliweka wazi mahusiano ya Petit na mwanamke mwingine wa kinyarwanda na ndipo Esma alipokuja kuongea katika vyombo vya habari na kusema kuwa walishaachana na Petit siku nyingi sana lakini hakutaka kuweka wazi.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.