Njama Anazofanya Zari Kuwaondoa Watoto kwa Diamond.

Haijawahi kuwa kesi kwa wazazi kugombana lakini watoto wakabaki katika hali  ya kawaida na malezi yakaendelea. siku zote haiwezekana kumnyima baba mtoto kama baba hajwakana na anaendelea kuwahudumia.

Baada ya Zari kugombana na kutangaza rasmi kuhusu kuachana na Diamond Platinumz ameanza mikakati mipya ya kuwaweka watoto wake bali na familia ya Diamond  kwa kuwapeleka kanisani.Hii imezua gumzo sana katika mtandao wa kijamii kwa wle walioona picha za caption za watoto hao katika page zao.

download latest music    

Katika kurasa za mitandao ya kijamii hasa instagram , jana siku ya jumapili waliweka caption za kuwaonyesha kuwa wanaenelekea kanisani,katika page ya Princesstiffah aliweka picha na kuandika “stepping into church like…”  na pia katika ukurasa wa Prince Nillan nae aliandika “had swimming plans after church but looks like cloudy sunday”

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa Zari kuonekana kuwapeleka watoto hao kanisani ilihali baba wa watoto wake (Diamond platinumz )   dini yake sio ya kwenda kanisani, na shida inakuja pale ambapo ameazna kuonekana akiwapeleka kanisani watoto hawa baada ya kugombana na baba yao.

Swali limekuwa kwa mashabiki kuwa je, Diamond mwenyewe anaona hayo yakitokea, au ameruhusu na ndio maana hata mama anapata mwanya wa kuweka wazi swala la watoto wake kwenda kanisani.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.