Nuh Mziwanda Aonyesha Mjengo Wake Baada ya Tetesi Za Kufulia

Mwanamuziki wa Bongo fleva Nuh Mziwanda ameanika mjengo wake ambao unajengwa baada ya kugubikwa sana tetesi za kufulia hivi karibuni.

Nuh Mziwanda alikuwa Kwenye Mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake Shilole kwa miaka kadhaa lakini baadae walikuja kuachana na Shilole kuolewa na mwanaume mwingine.

download latest music    

Lakini tangu Nuh ameachana na Shilole Kumekuwa na taarifa nyingi zinazodai kuwa amefulia vibaya mno kuanzi kimuziki mpaka kipesa kwani alikuwa anategemea mafanikio kutoka Shilole.

Nuh jana amewatolea povu watu wote ambao wamekuwa wakimponda na kusema amefulia baada ya kuuanika mjengo wake ambao unajengwa kuonyesha kwamba hajafulia.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nuh aliandika ujumbe huu:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.