Nyashinski Akanusha Ujumbe Mbaya Kuhusu Diamond
Msanii kutoka Kenya Nyashinski amefunguka na kukanusha madai zidi yake yaliyokuwa yaisema kuwa aliandika ujumbe mbaya katika Twitter unaosema kuwa Diamond sio hajui kufanya hit song , ujumbe ambao nyashinski mwenyewe anasema kuwa uliandikwa na moja ya page za wanaojiita mashabiki zake na hata ukiangalia hiyo haikuwa akaunti yake anayoitumia.
Siku kadhaa nyuma zilizopita katika ukurasa wake wa instagram Diamond aliwataka mashabiki zake kumpigia kura Nyashinski ambae alikuwa katika kategoria ya kuwania tuzo ya msanii wa Afrika Mashariki bora katika tuzo za MTV EMA .
Akiongea na Lil Ommy , msanii huyo anasema kuwa ujumbe huu haukuandikwa kupitai akaunti yake ya twitter bali ilikuwa akunt nyingine tu,”wacha niweke hii very, very clear , twitter akunt yabu ni realnyashinski sio official au thereal , lakini ukiangalia hiyo twitt imetoka katika akaunt nyingine kabisa.
unajua unaweza kuwa na watu wengi twitter wanaojiita nyashinski kwaio nimeona kuwa bora niweke hii sawa,kwaio twitt ilikuwa inasema kuwa diamond hajui ku-make hit songs , lakini ukweli wote tunaujua kuwa Diamond anajua ku-make hits.