Ommy Dimpoz amuandikia Barua mamake Diamond Platnumz

Wengi wanapodhania kuwa Ommy Dimpoz ameamua kukaa kimwa – basi msanii huyu wa bongo hivi leo amewaacha wengi wameshtuka baada ya kumuandikia bi Sandra barua kupitia mtandao wa Instagram.

Ommy aliweka picha yake na ya mama Diamond hukua kiandika;

download latest music    

BARUA YA WAZI KWA BINTI YANGU MALKIA WA NGUVU

Salam zako nimezipata mwanagu hivi kweli ww wa kukosa adabu kuamua kunichamba baba yako? Sasa Kosa langu mimi nini????kwani kuna ubaya kumtandikia kitanda Baby wako king?
#unanioneakwakuasijuikurap?
#sijuiNamiminimkatae
#kamayeyealivyokataawaMobeto
#Yaniunamkataamjukuuwangu
#unakubalikuleawatotowa5siowako
#umerogwawwsioburemwanangu
#NilikuwanajuanimezaaSIMBA
#kumbenimezaaKIMBA
#DavidonaeanalalamikuhusuENEKA
#UmeletaJanjaJanjakwenyefallonu
#utakujakuniuakwapreshajomonii
#Nnaedhalilikamimibabayako
#hayanendakatungevesinyingine
#Rahayavitausichanguesilaha
#BABAMALKIA

Tazama post yake hapa;

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua