Ommy Dimpoz Arejea Nyumbani.

Baada ya kuugua kwa muda mrefu, msanii ommy dimpoz hatimaye ametua nyumbani na kuonekana kwa sasa hali yake inaendelea vizuri huku akishukuru wale wote waliokuwa waamuombea.

Ommy ambae amekuwa na hali mbaya kama walivyokuwa wakiripoti mara zingine anasema kuwa sasa yuko vizuri lakini pia anawashukuru sana wale waliokuwa wakizusha kuwa amekufa wakati walikuwa hawana taarifa kamili kuhusu hali yake.

download latest music    

Ommy dimpoz anaonekana mwenye afya na mwe nye furaha sio kama ilivyokuwa hapo awali akionekana akiwa kitandani na hali yake ikiwa mbaya,

Hata hivyo hii ni habari njema kwa mashabiki wa msanii huyo mpaka kufikia hatua ya kurudi nyumbani ina maana msanii huyo kwa sasa atakuwa mwenye afya iliyotengemea.

Hata hivyo haijafahamika kuwa msanii huyo atachukua muda gani mpaka kurudi katika hali ya kufanya muziki tena.

Ommy dimpoz alisema ‘lakini watu wanachojisahaku kuwa sisi binadamu owte tunapita na kila mtu atakufa na hata mimi pia ntakufa, kuhusu kuimbakwa sasa siwezi kuzungmzia.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.