Otile Brown Akiri Kulikumbuka Penzi La Vera

Msanii wa muziki anayefanya vizuri nchini Kenya Otile Brown amefunguka na kukiri kumiss aliyekuwa mpenzi wake Socialite Maarufu Vera Sidika.

Otile alifunguka hayo Siku chache zilizopita ilipokuwa kumbu kumbu ya kuzaliwa kwa Vera Sidika.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Otile amemposti Vera na kumuandikia maneno mengi matamu huku akikiri kuwa Vera mkarimu na mtu mzuri na kuna wakati anakuwa anamkumbuka sana.

https://www.instagram.com/p/BoWPmfKny-T/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=buv5q7dlscik

 

Vera Sidika yupo Dubai ambako anakula  bata la Birthday yake hivyo hajamjibu Ex wake huyo.

Vera na Otile Brown waliachana mapema mwezi uliopita baada ya kuwa Kwenye Mahusiano kwa Miezi kadhaa huku kila mmoja akimtuhumu mwenzake kama kuwa chanzo cha kuisha kwa Penzi lao.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.