P-Funk ndio producer Bora :-Dully Sykes
Msanii anaetamba na wimbo wa kadamshi kwa sasa ambao ameimba akiwa na Harmonize amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake anaona kuwa P-funk majani ndio mtayarishaji bora wa muziki aliyepo bongo anaeongoza watayarishaji wote Duniani.
kwa upande wangu P-funk majani ndio mtayarishaji bora kuliko watayarishaji wote duniani kwa sababu siwezi kumtaja dk dree wakati sijawahi kufanya nae
Dully pia anasema kuwa kwa sasa muziki wa bongo umebadilika sana kwa sasa na ndio maana hata muonekano wa wasanii na mavazi kwa sasa wamekuwa na utofauti mkubwa sana kuliko zamani .