Papii Kocha Ajivunia Mtoto Wake
Msanii wa muziki wa dansi nchini, Papii Kocha anasema kuwa amekuwa akijivunia sana mtoto wake wa kike aliyemwacha akiwa mdogo pindi anakwenda jela baada ya kupatwa na kesi iliyotakiwa kuwagharimu maisha yao wakiwa huko.
Papii ambae baada ya kukaa jela kwa zaidi ya miaka 14 wamtoka jela kwa msamaha wa raisi lakini moja ya vitu ambavyo vilimshangaza ni kumuona binti yake ambae alikuwa mdogo kipindi hicho kuwa mkubwa na mtu mzima kabisa.
Papii anasem akuwa kwake ni jambo la kujivunia na kumshukuru sana Mungu kwa kumtunzia binti yake na kumkuta akiwa salama na siku zote binti yake ni sifa yake.