Penzi la Aslay na Mama Mtoto Wake Ladaiwa Kuvunjika

Kumekuwa na tetesi huko instagram kuwa msanii Aslay na mke  wake ambae amebahatika nae kupata mtoto mmoja kuwa kwa sasa hawapo tena pamoja na kwamba wawili hao  kila mmoja anafata ustaarabu wake kwa saa na inawezekana hata kukaa pamoja hawakai tena.

Wikiendi hii ilikuwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa wawili ho huku siku zao zikiwa zimefatana  lakini kitu cha ajabu ni kwamba hakukuwa na shamrashamra za sherehe hiyo kwa wote wawili huku alsya hakutaka hata kuweka picha ya mzazi mwenzake huyo katika ukurasa wake wa instagram

download latest music    

Habari ziliozpo chini ya kapeti ni kwamba Aslay na Tessy hawako pamoja tena na kwamba mwanamke huyo alishaondoka nyumbani kwa aslay na sasa wapo katika mahuiano kama ya wazazi tu na sio vinginevyo.

Wasanii wengi wamekuwa na skendo za kuwa na mape nzi ya muda mfupi na pengine hata kushindwa kufikia muafaka wa ndoa kwa wapenzi wao huku swala kubwa likihusishwa na wivu wa mapenzi na kulewa umaarufu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.