Penzi la Casto na Tunda Lasemwa Kuwa Matatani

Pamoja na kujitapa sana katika mitandao ya kijamii kuhusu kutokuachana kwao , wasanii maarufu Tunda na Casto dickson wameripotiwa  kuwa katika hali ngumu ya kimahusiano kutokana na penzi lao kuonekana kuyumba kwa sasa.

Wawili hao ambao pezni lao lilikuwa gumzo katika mitandao wanaonekana kuwa mbalimbali kwa sasa na kwamba kuna kidudu mtu kaingilia kati swala lao na kwamba haijulikani kama litaweza kukaa kama zamani.

download latest music    

Moja ya vyanzo makini vilisema kuwa kwa sasa wawili hao hata hawaonekani kuwa pamoja kutokana na ukweli kuwa penzi hilo limeisha kabisa na hata kuweka picha katika mitandao imefika kikomo kwa Casto.

Baada ya hapo GPL, waliamu kumtafuta tunda hili kumuuliza kuhusu swala hilo na ndipo aliposema kuwa kwa sasa yeye hana mchumba  na yuko bize sana na maisha yake na ana vitu vingi sana vya kufanya kwaio anaombwa aachwe.

Baada ya kutafutwa kwa Casto alishangaa kuambiwa kuwa tunda amejibu kuwa hana mpenzi na kusema kuwa kwa sasa wameamua kuweka mambo yao kuwa ya siri na hakuna kitu kitakacho watenganisha.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.