Penzi la Gigy Money na Mo J Lafika Mwisho Kisa Michepuko

Video vixen na msanii wa Bongo fleva Gift Stanford ‘Gigy Money’ na Baba Watoto Wake Mo J wameachana tena Baada ya Gigy kumtuhumu Mpenzi Wake kwa michepuko.

Hivi karibuni Mo J alikumbwa na skendo ya aina yake Baada taarifa kusambaa kuwa amekuwa akimfuata mchumba wa Mc Pilipili anayeitwa Philomena na kumtongoza.

download latest music    
Mo J kushoto na Mpenzi wa Mc Pilipili, Philomena Kulia

Inadaiwa kuwa Msichana huyo Ali screenshoot maongezi yao na kusambaza kwenye Mitandao ya kijamii yaliyomuonyesha Mo J akimtongoza mrembo huyo.

Basda ya kupata taarifa hizo Shilawadu walimfikishia Gigy Money ambaye alizua bonge la varangati na kusababisha yeye na Mo J kurushiana matusi ya nguoni na kuachana.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Gigy Money ameweka wazi kuwa Penzi lake na Mo J limefika ukingoni kwa ajili ya michepuko:

https://www.instagram.com/p/Bst0Db4nKJ-/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=3mtt5s5dn184

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.