Penzi la Nay na Nini Matatani

Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego ametangaza kuwa single katika ukurasa wake wa instagram huku katika ukurasa wa mpenzi wake Nini akiandika maneno yenye kuashiria kuwa mahusiano yake hayajakaa sawa.

Wakitumia kurasa zao za instagram, nini na nay kwa nyakati tfauti wameandika maneno yenye kuacha maswali mengi kwa mashabiki zao.katika ukuarasa wa nay aliandika:ITS OFFICIAL SINGLE, usichangie chochote , wala sihitaji comments  ata moja , no ushauri wala maoni , yaani ni hivyo hivyo tu am single.”

download latest music    

wakati katika ukurasa wa nini aliandika “kwenye haya maisha unaweza ukampenda, ukamjali  na kumheshimu mtu lakini akakuona kama fala, na akishajua hivyo ndo anakufanyia vituko kila sehemu  maka ukajua kumpenda. but all in all lazima maisha yaendelee, there are dream need to be fulfilled,  and responsibilities  to be  done , hata bila wewe mbona mi naweza tu.TUSIENDESHANE”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.