Penzi la Prezo na Ambaer Lulu Laingia Mdudu
Mwanadada Amber Lulu hapo siku za nyuma alikuwa akijitapa baada ya kuonekana akiwa katika mahusiano ya kimapezni na msanii kutoka Kenya Prezzo na kusema kuwa wawili hao hawawezi kuachana kwa sababu wana mpnago wa kufunga ndoa lakini mambo yamekuwa sio baada ya kusambaa picha za mwanaume huyo akiwa na mwanamke mwingine.
Picha hizo zilizonyakwa huko mitandaoni zinamuonyesha prezzo akiwa na mwanamke mwingine huku katika ukurasa wa mwanamke huyo akiwa ameweka caption inayoashiria kuwa waili hao ni wapenzi .
Hata hivyo hapo awali kuna picha pia zilikuwa zikisambaaa katika mtandao zikimuonyesha aslay akiwa na amber lulu nahata ambaer lulu alipoulizwa alisema kuwa yeye na Prezo mambo yao hayajakaa vizuri lakini aliwahakikishai waandishi kuwa kila kitu kitakuwa solved.
Lakini siku za hizvi karibuni inaonekana kabisa kuwa pezni la wawili hao linaendelea kupumulia mashine kwanza kutokana na ukaribu wa kimapenzi kati ya prezzo na mwanamke mwingine lakini pia kutokana na picha Amber Lulu anazoweka katika ukurasa wake akimuomba mpenzi wake hyo msamaha.Hata hivyo amber lulu hajaongea chochote kuhusu mahusiano hayo mpaka sasa.