Peter Msechu Akanusha Kuachana na Mkewe.

Msanii wa muziki wa muda mrefu Peter Msechu amefunguka na kuwashangaa na hata kuwacheka baadhi ya watu ambao wamekuwa wakitangaza kuwa yeye ameachana na Mama Lolo ambae ni mke wake wa muda mrefu.

Peter Msechu anasema kuwa watu waliazna kuongea na yeye akaamua kuwachomekea huko ili kuwafurahisha na roho zao kwa sababu watanzania wanapenda kuona watu wakiharibikiwa na ndio maana aliamua kuwapima ili aone wanasema nini.

download latest music    

Peter anasema kuwa kwa jinsi walipotoka na Mama Lolo hawezi kumuacha hata mara moja kwa sababu wametoka mabli pindi hata hajawa msanii.

Hizo habari zimekuwa zikisambaa sana na kwa kawaida watanzania wanapenda sana kufatilia maswala ambayo hayana umuhimu wowote, nimekuwa nikipost ngoma zangu watu wa-download nipate tu ela lakini hawafanyi hivyo lakini niliposema nimeachana na mama Lolo kuna watu wamekuja watu hata sijawahi kuwaona wamekuja kunishauri sana kwanini nimeachana na mama Lolo.

Mimi niachane na mama Lolo wapi na wapi, kwa kawaida katika mahusiano ya mapenzi na ni kawaida kugombana , nimejuana na Mama Lolo kabla sijawa hata msanii yeye ndie alinishauri niende BSS sasa nagombana na Mama Lolo niende wapi.–Aliongea Peter alipokuwa akifanya mahojiano na Cloud E

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.