Picha 10 za mtoto wa Ali Kiba ambazo ni dhibitisho kuwa anang’ara kuliko wasanii wengi wa Bongo

Wasanii wengi Tanzania hawajaekeza katika muonekano wao wa kimavazi; Diamond Ali Kiba, Dogo Njanja ni miongoni mwa wasanii wa Bongo ambao wanajulikana kung’ara sana kimavazi.

Inaonekana Ali Kiba anamfunza mwanawe Prince Sameer Ali Kiba jinsi ya kung’ara. Prince Sameer tayari anavutia kwa mavazi yake ilhali yeye bado ni mchanga.

download latest music    

Tazama picha za Prince Sameer hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere