Picha 5 za shabiki wa Man United aliyeingia uwanjani kumkumbatia Rooney Gor Mahia ikimenyana na Everton

Klabu ya Everton kutoka Uingereza ililaza Gor Mahia ya Kenya mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa jana Alhamisi katika uga wa Benjamin Mkapa jijini Dar-es-Salaam.

Rooney, mshambulizi wa kitambo wa Manchester United ambaye alijiunga na Everton, alifunga bao la kwanza la timu yake mpya.

download latest music    

Staa huyo ambaye ako na mashabiki duniani nzima alivutia watu wengi kuenda kutazama mechi hio baina ya Gor Mahia na Everton.

Shabiki wa Manchester United aliingia kwa uwanja wakati mechi hio ilikua inaendelea na kumkumbatia Rooney kabla ya polisi kumtoa kwenye nje.

Tazama picha ya shabiki huyo hapo chini:

  

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere