Picha: Baby Shower Ya Gigy Money

Msanii wa Bongo fleva Gigy Money alifanya kufuru siku ya Jumamosi baada ya kufanya bonge la sherehe kwa ajili ya kujiandaa kwa ajili ya kumkaribisha mtoto wake ‘Baby shower’.

Halfa hiyo ilifanyika katika hoteli ya Africa House Lounge iliyopo Kinondoni kujibu Dar es Salaam. Tafrija hiyo ilihudhuriwa na marafiki wa karibu wa na mastaa mbali mbali kama Jacqueline Wolper ambaye alifunika kwa kumtunza hela za kibongo na dola lakini pia alikuwepo Hamisa Mobetto, Tunda Sebastian na Queen Darleen.

download latest music    

 

 

 

 

 

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.