Picha ya Kimnana Yazua Gumzo Mitandaoni

Mwanadada aliye-trend sana hapa karibuni kwa sababu ya kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamuziki mkubwa bongo na nje ya nchi Diamond Platinumz ameacha gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha katika ukurasa wake wa instagram ikiwa tofauti na ile iliyopostiwa katika ukurasa wa designer wa nguo aliyokuwa ameiaa akiitangaza.

Wasanii wengi wa kike bongo wamekuwa wakisemwa kuwa wanatabia ya ku-edit picha zao na kuongeza maumbo au kubaidlisha rangi ba baadhi ya sehemu katika miili yao na hii inazidi kudhiirika kwa mwanadada huyo ambapo pivha hizo mbili zinaonekana ziko tofauti sana na kile kinachoonekana kuwa na ukweli .

download latest music    

Picha hiyo imezua guzo katika mitandao ya kijamii huku kila shabiki alihoji kwanini picha hzio zimekuwa na utofauti sana.

Picha moja ya kimnana yenye utofauti  wa muonekano.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.