Picha ya Queen Darleen akiwa na bunduki ya zua utata mitandaoni

Image: Queen Darleen

Queen Darleen ni mmoja wa wasanii kutoka Wasafi records na ingawa yeye pia ndio mwanamke pekee katika label hiyo ya Diamond Platnumz mrembo huyu ni kama dada yake.

Hivi karibuni Queen darleen aliweka picha huku akionekana kuwa amebeba bunduki ambayo imeletautata mitandaoni. Kulingana na mashabiki bunduki hii inaonekana kuwa sio ya kweli, huku wengine wakidai kuwa alitaka kujionyesha kwenye mitanondi.

download latest music    

Hata hivyo, Queen Darleen hakuwajibu mashabiki wake kuzuia kujibishana na wengi wao ambao hawakukifurahia kitendo hiki. Tazama picha hiyo hapa:

?DUNIA SimamaNishukee ???? #duuuuuuuuushwa?????

A post shared by Queen Darleen (@queendarleen_) on

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua