Picha Za 40 Ya Mtoto Wa Zamaradi Mketema

Siku ya jana tarehe 25/7 Mtangazaji wa Wasafi Tv, Zamaradi Mketema alifanya 40 ya mtoto wake wa mwisho anayeitwa King Salah ambaye alikuwa anafikisha siku 40 tangu azaliwe.

Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Zamaradi maeneo ya Mbezi Beach na kuhudhuriwa na mastaa kibao wa Bongo fleva na hasa Bongo Movie.

download latest music    

Baadhi ya mastaa waliohudhuria ni pamoja na Diamond Platnumz, Jokate, Uwoya, Wema, Kajala, Irene, Harmonize, na wengineo.

Hizi ni baadhi ya picha za matukio hayo;

.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.