Picha za Uwoya Akila Bata Dubai Zageuka Gumzo Mtandaoni.

Mwanadada Irene Uwoya wiki iliyopita alianza kuonekana yupo Dubai akiwa kama amekwenda kwa ajili ya kupata mapumziko ya peke yake nchini humo, hata hivyo mwanadada huyo amekuwa akionekana kuwa na furaha na kufurahia mapumziko yaeke ingawa katika mitandao ya kijmaii kumekuwa na meneno mengi yanayoendelea katika mitandao kuhusu mwanadada huyo.

Moja ya sababu kubwa ya mwanadada huyo kuandamwa na mashabiki ni kutokana na kwamba alikuwa akionekana yuko peke yake katika mapumziko hayo na kwamba kwanini hajakwenda Dubai na mume wake dogo janja .

download latest music    

Lakini baadae mwanadada huyo alikuja kuonekana katika picha ya pamoja na mwanaume mmoja ambae inasemekana kuwa ni rafiki wa karibu wa familia ya Irene uwoya lakini bado mashabiki hawakutaka kuamini na kuendelea kumshambulia mwanadada huyo.

Kama ilivyo kawaida katika mitandao ya kijamii , mashabiki wamekuwa wakisema mengi kuhusu Irene uwoya huku wakisema kuwa ndoa yake imeanza kuota nyasi na kwamba mwanaume aliyeenda nae Dubai ndie mpenzi wake wa sasa.

Hata hivyo dogo janja hjafungika wala irene mwenyewe kuhusu  tuhuma hizo  zinazoendelea zidi yake.Uwoya amekuwa moja ya wasanii wa kike wanaongoz kusema vibaya katika mitandao ya kijamii.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.