Picha za Young Dee akiwa na Vazi la Harusi Yaleta Utata.

Msanii wa bongo fleva nchini, David Kenzi , ameonekana katika mitandao ya kijamii akiwa na mwanamke pembeni yake huku wakiwa katika vaz la hshima , vazi la harusi huku ikisemekana wawili hao kuwa wamefunga ndoa.

download latest music    

Hata hivyo watu weng wamekuwa wakishangaa kutokana na kitendo hicho kufanyika kimya kimya na hakuna hata wasanii wengi waliokuwa wakijua swala hilo.Hata hivyo msanii huyo mwenyewe pia hakuweka wazi swala hilo , kitu amacho kimewaacha masgabiki katika mshangao wa kutaka kujua kama ni kiki ya muziki mpya unaokuja au ni kweli wamefunga ndoa na mrembo huyo.

Hata hivyo kumekuwa na pongezi kutoak kwa watumbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine ni vigumu kujua kama ni kiki kutokana na nyadhifa zao katika jamii, moja ya watu hao ni maulid kitenge ambae alimpongeza sana young dee na kulalamika kwanini hakumualika katika harusi yake.

Lakini pia Jackline Wolper alimtumia Young Dee salamu za pongezi na kumtakia maisha mema katika  ndoa yake hiyo mpya.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.