Polisi wa Uganda walinda kaburi la Ivan Ssemwanga (Picha)

Ivan ssemwanga bado analindwa ata kwa kifo! Tishio la wezi kuiba geneza aliyozikwa nayo Ivan na pesa zilizotupwa kwenye kaburi lake, zimefanya familia yake kutafuta ulinzi kutoka kwa polisi.

Mwenda zake alizikwa kwa jeneza la bei kali ambalo lilinunuliwa Afrika Kusini. Kundi la Rich Gang lilitupa pesa nyingi ndani ya kaburi kabla ya jeneza liliyobeba mwili wa marehemu kushushwa kaburini.

download latest music    
Pesa zilizotupwa kwenye kaburi la Ivan

Soma pia: Kundi la Rich Gang yamwaga pombe na kutupa pesa kwenye kaburi la Ivan Ssemwanga

Pesa zilizotupwa kaburini na jeneza aliyozikwa nayo Ivan zimechangia familia ya mwenda zake kuhofia kuwa wezi wengefukua kaburi la Ivan na kuiba jeneza lake na pesa zilizotupwa ndani ya karubi lake.

Hi indo sababu ya familia ya Ivan kuamua kutafuta ulizi kutoka kwa polisi mbaka watakapozingira kaburi lake na ukuta.

Tazama picha za police wakilinda kaburi la Ivan hapo chini:

  

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere