Pretty Kind Adai Ali Kiba Sio Staa

Video vixen na Msanii wa Bongo fleva Suzan Michael maarufu kama Pretty Kind ameibuka na kudai Msanii maarufu wa Bongo fleva Ali Kiba sio supa staa kama watu wengi wanavyodhani.

Ali Kiba ni moja kati ya wasanii wa Bongo fleva ambaye amekuwa kwenye chati na amekuwa akiwekwa Kwenye listi ya wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa.

download latest music    

Lakini Pretty Kind ameibuka na kudai kuwa Ali Kiba hana hadhi au status ya kuwa supa staa kwa kuwa hajafabya baadhi ya mambo ambayo yanaweza kumuweka kuwa Staa.

Pretty Kind amefunguka na kusema hawezi kumuweka Ali Kiba Kwenye kundi la mastaa kwa sababu muziki wake haujulikani nchi za nje zaidi ya hapa nyumbani Tanzania:

Mimi ninachoongea ni ukweli na wala sina timu ya aina yoyote ila  Ali Kiba Isupa staa kwa sababu bado hajaitangaza vizuri nchi yetu muziki wake unaojulikana hapa kwetu tu simchukii ila nasema ukweli”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.