Profesa Jay Afunguka Tetesi za Kuacha Muziki

Msanii Joseph haule amefunguka na kusema kuwa kamwe hatoacha muziki kwa sababu muziki ndio uliomfanya kujulikana na mashabiki zake wa miukumi na kumpeleka bungeni, hivyo kuacha muziki ni kama kuwasaliti wananchi wake waliomwamini kupiyia muziki huo..

Joseph Haule kwa jina maarufu Profesa Jay ni wasanii wa kwanza mbao sasa hivi ni wakongwe katika sanaa, lakini pamoja na kwamba aliamua kujiingiza katika siasa, anasema kuwa kazi ya muziki ndio iliyomfanya kujuliakna tanzania na kot ulimwenguni na inawezekana kama sio muziki basi hasingeweza kuwa mbunge wala kujuana na wananchi wa mikumi.

download latest music    

pagamisa ni kazi nzuri ambayo imepokelwa vizuri tu na mashabiki wangu,miaka yote ya muziki wangu nitaendelea kutoa kazi nzuri za muziki wangu  na kamwe siwezi kuacha kazi ya muziki kwa sababu ya kufanya hivyo ni kama kuwasaliti wananchi ambao wamenipeleka mjengoni kupitia muziki huu ambao naufanya.-Alisema Profesa Jay ambae alikuwa studio kutambulishwa wimbo wake mpya.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.