Profesa Jay Akiri Kuwasamahe Wote Waliomsaliti, Aelezea Maisha ya Sugu Gerezani

Mwanamuziki mkongwe nchini Profesa Jay , amefunguka na kusema kuwa ameamua kuwasamahe wasanii na watu wote wa karibu waliokuwa wakimsaliti kipindi cha kampeni na mpaka anafikia hatu ya kuwa mbunge.

Profesa jay anasema kuwa wasanii wengi sana hawana umoja na wamekuwa na tabia ya usaliti na kusemana sana ktika vitumbalimbai hivyo bsai kwa upande wake anaona kabisa kama atatumia kisasi na kuwachukia au kuwbabgua basi ndio itaendeleza chuki kati yao na kfanya muziki uzidi kufa wakati ili muziki ukue inabidi kuwe na umoja thabiti.

download latest music    

Profesa jay anasema kuwa kwa sasa hana kinyongo na mtu yoote aliyewahi kumkosea wala kumsaliti hasa katika kipind cha kampeni ila atajitahidisana kuweka umoja kati yake na wasnii wengine ili waweze kufika mbali katika kukuza muziki wao.

Hata hivyo akifunguka na kuelezea maisha ya mwanamuziki mwenzie ambae pia alijiingiza ktika siasa, Mh Sugu ambae kwa sasa anatumiakia kifungo chake cha miezi  gerezani baada ya kukutwana hatia ya kuongea maneno ya uchochezi na kutokumheshimu raisi, profesa jay anasema kuwa tangu sugu alipoenda gerezani alishawahi kwenda kumuona na kuambiwa kuwa mbunge huyo alikataa kabisa kukaa sehemu ya watu maalumu alipokuwa gerezani mpaka sasa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.