Profesa Jay Anafaa Kuitwa Mkongwe Katika Huu Muziki;-Roma

Msanii wa hip-hop nchini,  Roma  amefunguka na kusema kuwa katika wasanii anaona wanafaa kuitwa wa kongwe kwake anaona kuwa ni Profesa  Jay kwa sababi ndio anafanya vizuri na kupigania sana haki za wasanii kwa kipindi kirefu sana.

Roma amesema kuwa hata kipindi anaanza muziki mpaka sasa, msanii ambae kwake ni role model ni Profesa Jay na wala sio mwingine kwa sababu amekuwa mfano wa kuigwa katika hilo.

download latest music    

Profesa jay anafaa kuwa mkongwe kwenye huu muziki, kwa sababu ni miongoni mwa wasanii waliopigania sana huu muziki kwangu mimi profesa jay ndio role model wangu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.