Queen Darleen Bado Haamini Kama Zari na Diamond Wameachana.

Msanii wa kike kutoka lebo ya WCB, Queen Darleen ambae ni dada wa msanii mkubwa Duniani Diamond Platinumz amefunguka na kusema kuwa alishtuka sana kusiki akuwa kaka yake na mzazi mwenzie Zari wameachana .

Queen Darlen anasema kuwa mara ya kwanza kuona habari hzio katika mitandao ta kijamii alishtuka sana kiasi kwamba hakutaka kuamini kuwa kitu kama hicho kinawweza kutokea.Akiongea na the plyalist ya Times Fm,Queen Darleen anasema kuwa hata kama ni kweli wameachana lakini yeye mpaka sasa wala hataki kuamini swala hilo.

download latest music    

offcourse nilishtuka kuona swla hilo katika mitandao ya kijamii, na nilihisi ni kama utani tu kwaio hata sikutaka kuhoji kitu kwa sababu ingeniumiza sana  na wala sitaki kuhoji au kuuliza ili kujua kitu.

kwa imani yangu ni kwamba hawa watu bado wapo wote, iwe wameachana au hawajaachana sitaki kujua hilo,ninachojua wapo wote na itabaki kuwa hivyo katika nafsi yangu.

Diamond na Zari inasemekana kuachana kabisa baada ya zari kuweka caption katikaukurasa wake wa instgram akitangaza rasmi kuachana na mwanaume huyo kwa sababu za kuwa anatuhumiwa kila siku kuchepuka na wanawake wengine.

 

Zari na Diamond wamebahatika kuzaa watoto wawili ambao kwa sasawanaishi na mama yao nchini Afrika  ya Kusini.Watu wengi na sion Queen Darleen tu ambao wamekuwa wanashikwa na butwaa na kutokutaka kuamini kabisa kufa kwa enzi hilo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.