Queen Darleen na Baba Yake Mzazi Hapatoshi

Diamond na Queen darleen ni ndugu kwa kuchangia baba, wawili hawa wamekuwa karibu na hata kusaidiana katika kazi za muziki na maswla ya kifamilia pia.

Hivi karibuni baba mzazi wa wawili hao alifunguka na kutia maneno ya hasira juu ya mwanae wa kiume Diamond Platinumz na kusema kuwa hataki hata mara moja pindi atakapokufa kuona diamond anagusa au kusogelea kaburi lake, Diamond hakujibu kitu kutokana na maneno hayo lakini dada yake Queen Darleen alijibu maneno hayo kwa kusema kuwa hata baba yao hana haki ya kutoa  maneno hayo kwa sababu amekuwa akiumwa mara nyingi na kusaidiwa na wao na hata kuwa na akili kama za kitoto muda mwingine.

download latest music    

Mzee Abdul ameamua kufunguka tena na kuonyesha alivyokuwa amekerwa na taarifa za maneno hayo yalitomtoka mtoto wake huyo wa kike kwa kusema kuwa hata Queen Darlen amekuwa hakumbuki kuwa kipindi wana maisha magumu alikuwa akisaidia na baba yake huyo na kupika hadi ugali nyumbani kwao.

Yani kabla hajawa nahilo jina alikuwa anakuja hapa tunapika tunakula pamoja leo hii ananiita mimi sina akili kweli, kwamba nikiumwa sina akili.Diamond pamoja na ustaa wake hajawahi kuniambia mimi maneno mazito kama hayo.

Yule mtoto mbaya sana yeye ndie alikuwa anakuja hapa anasema ooh sijui Mama Diamond ndio aliofanya Diamond aachane na wema, ooh sijui amara hivi mara viel kumbe mnafiku tu.Binafis hata mimi pia zari ninamkubali kwa sababu ana moyo wa huruma na akili kuliko hata huyo Queen Darleen.

Baba Abdul ametoa maneno makali kwa mwane huyo wa kike na kusema kuwa hataki kusaidiwa nae kwa chochote kwa sababu tayari alishamkana hadharani kwaio haina haja ya kumchuklia kama  mtoto wake tena.

nimezichoma picha zot moto, siwezi kuwa na mtoto hakafu akanikana  hadharan hivyo,acha na mimi nimkane hadharani hana maana .asinisaidie kwa chochote na wala sihitaji msaada wake kwanza.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.