Queen Darleen- Uongo na Usaliti ni Vitu Sivitaki Kwenye Mahusiano

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB, Queen Darleen amefunguka na kuanika vitu vieili ambavyo havifumbii macho kabisa anapokuwa Kwenye Mahusiano.

Queen Darleen ameweka wazi kuw anapokuwa Kwenye Mahusiano ya kimapenzi huwa hapendi kuwa na mwanaume ambaye ni msaliti au mwanaume ambaye ni muongo.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Kipindi cha Funiko Base ya Radio Five, Queen Darleen ameweka wazi endapo mwanaume akiwa na sifa hizo anamwaga:

Darleen kwenye mahusiano ni mtu ambaye hapendi uongo, hilo la kwanza, na akikaa na mtu anakaa na mtu lakini yule mtu akigundua kama amemsaliti hawezi kumsamehe.

Yaani umenisaliti na nina uhakika hata kama nakupenda vipi na tumeishi miaka mingapi mimi naachana na wewe kwa sababu imani yake Darleen atakapokusamehe basi utaendelea kuwa na mtu mwingine“.

Lakini pia Queen Darleen amekuwa mkimya sana juu ya Mahusiano Yake ingawa kulikuwa na tetesi kuwa anatoka na Mbosso lakini baadae ilikuja julikana kuwa sio kweli.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.