Rammy Galis Aonyesha Mapenzi Yake Kwa Mtoto Wa Masogange.

Mtoto wa aliyekuwa video vixen maarufu nchini marehemu Agness Masogange amemaliza darasa la saba katika shule ya msingi kisutu wikiendi iliyopita ambapo kulikuwa na sherehe a kumaliza elimu hiyo, picha nyingi zilisambaaaa zikimuonyesha binti huyo akiwa mwenye furaha katika siku yake hiyo.

Katika watu walifanikiwa kufika katika hafla hiyo ni pamoja na ndugu  na baab mzzi wa mtoto huyo ingawa pia wasanii wengine walionekana kuwa na furaha na kumpongeza binti huyo.

download latest music    

Moja ya waliompongeza ni pamoja na msanii Rammy Galis ambae aliwahi kuwa na mahusiano na Agness na pia kubahatika kufanya nae kazi ya muvi, na pia hakuacha kuwa nyuma kumuhaidi kuwa kila siku atakuwa bega kwa bega katika maendeleo yake

.Rammy aliandika“Congratulation kwa kumaliza shule ya msingi, SANIYA mungu aendele kukusimamia , sitakuwa nyma katika maendeleo yako, sikuacha kuja kukutembelea shule alipokuwa hai mama yako , siaacha kukupa pongezi m hauko peke yako.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.