Ray C Aanika Majibu Yake Ya Ukimwi

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C ameanika majibu yake ya kipimo cha virusi vya Ukimwi alichofanya siku za hivi karibuni.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Msanii huyo ameweka majibu ya kipimo hiko kinachoonyesha hana maambukizo ya gonjea hilo la Ukimwi.

download latest music    

https://www.instagram.com/p/BpCTiygHEE1/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=w5cqoijgcq

Lakini pia amewaasa na watu wengine waende kupima ili kupata kujua majibu ya afya zao kwa ujumla.

Baada ya kimya kirefu kutokana na athari za matumizi ya madawa ya kulevya, Ray C ambaye kwa hivi sasa anaishi nchini Kenya na kuonekana katika nchi za Ughaibuni na mpenzi wake mzungu ametoa wimbo mpya unaoitwa ‘My woman’.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.