Ray C Amaliza Bifu Lake na Hamisa Mobetto

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila Maarufu kama Ray C ameonekana kumaliza bifu lake na Mwanamitindo Hamisa Mobetto baada ya kuposti video yake mpya.

Ray C na Mobetto wameahawahi kukwaruzana siku za nyuma ambapo Ray C alimponda Hamisa kwa mavazi yake ambayo alikuwa anauza Dukani kwake na kuyaita fake jambo lililopelekea mashabiki wa Hamisa kumvamia na kusababisha varangati.

download latest music    

Lakini Baada ya muda kupita Ray C ameonekana kumaliza bifu hilo baada ya kuposti video mpya ya Hamisa ya wimbo wake wa Madam hero na kuwataka mashabiki zake wakaangalie wimbo huo na kumsapoti Mobetto.

kuonyeshwa kuwa ameguswa na Kitendo hicho Hamisa alimshukuru Ray C na hata kutaniana kuhusu nguo za zilizowagom mbanisha.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.