Ray C Amkingia Kifua Diamond Platinumz.

Msanii wa muziki wa bongo fleva alikuwa amepotea kwa muda mrefu lakini sasa amerudi katika game Rehema Chalamila maarufu kama Ray c, amefunguka na kusema amekuwa akisikitishwa sana na watu wanaokuwa wanamuandama sana msanii mwenzake Diamond Platinumz.

Ray C anasema kuwa watu bwanamuongelea diamond vibaya na kuacha kuangalia mazuri na makubwa aliyoyafanya katika muziki wa tanzania kwa kuwakomboa na kuukomboa muziki huo.ray c anasema kuwa kama mtu ana macho hana haja ya kuambiwa ni  kiyu gani daimond  amefanya kukuza na kuuboresha muziki wa tanzania zaidi ya kumpongeza na kumfanya apate moyo wa kuendelea kufanya.

download latest music    

Ray c anawaomba  wanaomsema Diamond vibaya kuiga mfano kutoka Nigeria jinsi watu wa huko wanavyofanya kusapotiana kimuziki ili ukue.

ninaumiaga sana ninapoona  watu wanamuongelea vibaya huyu mtoto,amfanya mapinduzi makubwa sana huyo mtoto.kama una macho unaona kabisa .muziki wa tanzania sas ahivi  unafika mbali sana sababu ya watu kama hawa.Nigeria  wanafika mbali sana kwa sababu wanasapotiana  lakini sijui kwa nini tanzania tunapenda kuzodoana,kushushana,kuchukiana, dah yaaani huyo alieanzisha social media mungu na amlaani.

Kwa kipindi hiki kifupi Diamond amekumbwa na mambo mengi na maneno mengi katika mitandao yanayomsema vibaya ambapo baadhi ya wachambuzi wakuwa wa habari na muziki pia wamekuwa wakisema kuwa mambo hayo yanaweza kumshusha au kumuangusha kabisa Diamond kimuziki, ukianza familia, mapenzi na hata mashabiki wamekuwa mstari wa mbele kumshambulia Diamond kimuziki.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.