Ray C Amuanika Mpenzi Wake Mpya Mzungu

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C amemuanika Kwenye mitandao ya kijamii mpenzi wake mpya.

Ray C ambaye ameshawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Rapa Lord Eyes, ametumia ukurasa wake wa Instagram kumtambulisha  mpenzi wake huyo.

download latest music    

Mashabiki wengi wameonekana kufurahishwa na kitendo cha Ray C kumwanika mpenzi wake huyo wa sasa huku wengine wakionekana kumtaka achague wa hapa hapa nchini.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.