Ray C ashangazwa na muonekano wa uso wake (picha)

Matumizi ya dawa za kulevya uliathiri mwili wa Ray C kwa njia nyingi. Mrembo huyo alinona sana alipokua akijaribu kuacha utumiaji wa mihadarati.

Watu wengi walifanya utani wakitumia picha za Ray C alipokuwa mnene. Mashavu zake haswa zilikuwa zimefura kama andazi.

download latest music    

Ray C aliamua kufanya mazoezi ili kurudisha umbo lake la kitambo. Mwimbaji huyo alishangazwa na muonekano wa uso wake alipoweka picha yake ya kitambo mtendaoni.

“Yesu Wangu!!!!Unajua Siamini!!Hivi na nyie mlikuwa hamniulizi haya mashavu vipi!!??wabaya sana nyie yaani!!! #yamudatuhiiwalaiiiiiinaifuta!!!!!” Aliandika Ray C.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere