Ray C Awataka Watu Wajitokeze Kumsaidia Zaidi Rose Muhando

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C ameibuka na kuwataka watanzania wote kuungana na kumsaidia Msanii mkongwe wa nyimbo za injili Rose Muhando.

Ray C ameweka wazi kuwa mpaka hivi sasa Rose Muhando yupo tu nchini Kenya ambapo makazi yake yapo lakini hana msaada wowote hivyo ameitaka serikali na wananchi kwa ujumla kujitokeza na kumsaidia Rose Muhando.

download latest music    

Kipitia ukurasa wake wa Instagram, Ray C ameandika maneno haya kutokana na maradhi yanayomsumbua msanii huyo wa nyimbo za injili:

https://www.instagram.com/p/BqpeRXTls6I/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=17h9a99f7xnox

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.