Ray C, Koletha Mstari wa Mbele Kumshabiki Zari.

Sio kila mmoja anawez akukuchukia vile anaweza kukuchukilia mwingine  vile kundi kubwa la watu wanvayoweza kukuchukulia wewe.pamoja na kwamba mwanadada Zari the bossy amekuwa akipata upinzani mkali sana instagram ahasa katika page mbalimbali za udaku lakini kuna watu bado wanampenda na wanamsifia kila kukicha.

Mwanadada Ray c amekuwa moja ya watu hao wanaomsifia na kumpongeza kila kukicha na kila anapofanya jambo zuri, wikiendi iliyopita mwanadada zari aliweka picha nyingi zinazomuonyesha akiwa katika mashindano ya u-miss huko nchini kwao, wapo waliomponda sana kuwa hajapendeza na gauni alilovaa lakini iemkuwa tofauti kwa mwanadada Ray c na Koletha akutoka bongo movies.

download latest music    

Wasanii hawa wawili wameonekana kutokuwa na team  zamitandao na kumpongeza zri kwa kupendeza huko, wa upande wa Rayc pia amekuwa moja ya watu wanaopenda sana kukosoa kila anapoona mtu mmoja anaingiliwa na kushambuliwa sana katika mitandao ya kijamii , kwa mfano aliwahi kumttetea na hata kumkosoa hamisa kutokana na mambo tofauti tofauti.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.