ray vanny kuwakalisha magwiji kwenye tuzo za Uganda Entertainment Award

Msanii wa bongo fleva, chini ya lebel kubwa nchini Tanzania ya WCB mwenye single mpya inayokwenda kwa jina la ‘chuma ulete’ Ray vanny hivi juzi ametwaa tuzo kubwa nchini uganda inayojulikana kama Uganda Entertainment Awards ‘UEA17’.katika kipengele cha African Act of the Year .

katika kipengele icho ambacho ray vanny alikuwa anagombania na wasanii wengine wakubwa kama Davido,Wizkid ,na Vennessa Mdee  ambao wote ni wasanii wakubwa barani Africa na ray vanny aliibuka kidedea.Raymond amekuwa akionesha mafanikio kwani pia ni miezi michache tu ametoka  kushinda tuzo ya BET

download latest music    

Tunamtakia ray vanny kila lenye kheri katika kazi za muziki na pongezi nyingi ziende kwake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.