Rayvanny Ataja Kilichomsibu Mpaka Kupaka Rangi Nywele

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika Music Label ya WCB, Raymond Mwakyusa maarufu kama Rayvanny amefunguka na kumtaka kilichomsibu Mpaka kubadilisha muonekano Wake.

Hivi karibuni Rayvanny ameonekana na muonekano Mpya kichwani kwani Mbali tu ya kusuka Rasta Lakini pia amezipaka rangi ya Bleach na kuonekana tofauti.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Refresh cha Wasafi Tv, Rayvanny amesema kuwa kwa kawaida msanii anatakiwa kuwa na muonekano wa tofati tofauti na ndicho alichokifanya kwa sasa.

Muda mwingine msanii unatakiwa uwe unabadilika sio panki kila siku. Mtaanza matusi yenu toa, toa, sitoi huo ndio muonekano wangu”.

Msanii huyo anayefanya vyema na kibao chake cha Paraanawe amepokelewa kwa hisia tofauti na mashabiki zake ambao hapo Mwanzoni walikuwa wanavutiwa kwa kuwa na nywele fupi za kawaida tofauti na Diamond na Harmonize ambao walikuwa wanasuka na kubleach nywele.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.