Rayvanny azindua video ya wimbo wake mpya – Mbeleko

Msanii kutoka Wasafi Records Rayvanny ameachai video yake mpya wiki kadhaa baada ya kuachia wimbo wake wa Mbeleko.

Kulingana na views ambazo amezipata kupitia YouTube kuna uhakika kuwa mashabiki wake wameupokea vizuri Kama nyimbo zake za hapo mbeleni.

download latest music    

Mbeleko ambayo imepata umaarufu Afrika Mashariki ni wimbo ambao wengi wameweza kuuelewa na video yake pia inavutia kwenye macho.

Video hiyo ambayo imeongozwa na Joowezy imeachiliwa wiki hii baada ya Rayvanny na Khaligraph Jones kutoka kenya kuachia wimbo wao mpya.

Itazame hapa chini;

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua