Rich Mavoko Atoboa Ya Kuandika Nyimbo za Wasanii wa WCB, Akiwemo Queen Darlen
Msanii aliewahi kufanya kazi WCb amefunguka na kusema kuwa kwa muda ambao amekuwa akifanya kazi ndani ya lebo hiyo amekuwa akiandika nyimbo za wasanii wenzake wengi huku nyingine zikiwa tayari zimeshatoka.
rich ambae alitoka WCB hivi karibuni kwa mbinde hasa baada ya kesi yake kufka mpaka katika abarza la sanaa na kusemekana kuwa alikuwa akinyonywa sana na mabosi wake anasema kuwa moja ya nyimbo hizo ni ile ya queen Darleen ya Touch.
Rich anasema kuwa zipo nyingi zikiwemo zilizotoka na ambazo hazijatoka lakini alikuwa akifanya kazi hiyo kwa muda mrefu mpaka sasa anaondoka.