Roma Sio Mchizi Wangu:-Moni Centrozone.

Msanii wa bongo fleva Moni Centrozone amefunguka kna kumkana msanii mwenzake roma na kusema kuwa wala sio mchizi wake na wala hamjui na hajui nyimbo zake zozote na amekuwa hamfatilii kwa chochote kile,

Moni na Roma walikuwa wasanii waliokuwa wakifanya kazi pamoja na hata walipopata matatzio ya kutekwa na watu wasiojulikana walikuwa wote na kupitia matezo  waote lakini baada ya kumaliza matatizo hayo wawili hao walianza kuonekana hawafanyi kazi pamoja na kila mmoja kuonekana kutojali anachafanua mwenzie.

download latest music    

Hata hivyo alipowahi kuulizwa Moni alikiri na kusema kuwa kilimkera sana kitendo cha Roma kuchukua nafasi kubwa sana katika vyombo vya habari baada ya wao kutekwa kana kwamba wao hawakukumbwa na matatizo hayo.

Alipokuwa akiulizwa kama ameusikia wimbo mpya wa roma na stamina Moni alijibu “Roma sio mchizi wangu, wimbo wake siujiu na wala sina muda wa kuijua.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.