Rommy Jones Amuomba Mkewe Msamaha Baada Ya Kuchepuka

Msanii na Dj maarufu Rommy Jones ambaye pia ni kaka wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amemuangukia kwa magoti mke wake Kay Jord na kumuomba msamaha mtandaoni baada ya kukamatwa akitaka kuchepuka.

Wiki iliyopita Rommy jones alitengeneza headlines Kwenye mitandao ya kijamii baada ya meseji zake za kumtongoza Naj kusambazwa mtandaoni Ikiwa ni Miezi michache tu tangu ametoka kumuoa mke wake.

download latest music    

Jana Kupitia ukurasa wake wa Instagram Rommy Jones ameandika ujumbe wa kumtaka radhi mke wake kwa kitendo hiko pamoja na kwamba alikataa kuwa alimtongoza Naj na kudai ilikuwa ni utani tu:

Baada ya kuombwa msamaha mke wa Rommy ambaye na yeye alikuwa ameshafuta picha zito za Rommy Kwenye ukurasa wake wa Instagram aliweka picha yao ya Harusi na kuisindikiza na ujumbe uliosema “Pale Shetani alipotujaribu na akashindwa”. Kuashiria wamesha samehana na kuendelea mbele.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.