Rommy Jones Kuja na Album Yenye Wasanii Kutoka Marekani.

Dj maarufu kutoka lebel ya WCB Rommy Jones ambae pa ni ndugu wa msanii Diamond amepanga kutoa album yake ya muziki mwaka huu ambapo amesema kuwa kutakuwa na wasanii wengi katika album yake hiyo huku wengine wakitokea nje ya nchi.

Rommy ambae hivi karibuni ametoa wimbo wake aliomshirikisha Baraka The Prince amaesmea kuwa mwaa hu hautaisha na atafanya kitu kikubwa cha kuzindua album yake hiyo na kusema kuwa itakuwa na radha nyingi ikiwemo raggae, Hip Hop na pia Rnb.

download latest music    

Album yangu nadhani mwezi wa saba nitasema inatoka lini,album yangu iko tayari na kadri siku zinavyozidi ndio na yenyewe inazidi kwenda mbele  , na kitu kizuri ni kwamba humu hakuna radha moja tu ya bong fleva kuna hip hop , kuna raggae  na radha nyingi tofauti kwa sababu hata wasanii wako wengi tofauti.

Rommy Jones ambae mara ya kwanz alikuwa amejikitakatika kazi yakuwa dj wa msaniii Diamond ameamua kuibuka na kuingia katika muziki ukizingatia amekuwa katika kazi za muziki kwa muda mrefu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.