Rosa Ree is My Favorite Wangu ;-Rayvanny

Msanii wa uziki kutoka wcb  , rayvanny amefunguka na kueleze kwa undani kwanini msanii rosa ree ndio msanii pekee wa kike katika remix ya wimbo wake wa pochi nenen ambayo inapangwa kutoka hivi karibuni.

Rayvanny anasema kuwa amekuwa akivutiwa sana na muziki wa rosa ree na pia katika iwmbo huu rapper pekee angeweza ku-fit kutokana na wimbo ulivyo , alikuwa ni rosa ree na sio mwingineyo.

download latest music    

nawakubali wasichana na wasanii wote wanao-rap lakini rosa ree ni my favorite wangu ,naweza kusema kuwa nilimuona yeye anafaa kutokana na kwamba aina ya wimbo wenyewe wa pochi nene.

ukimsikia anavyo sound kama Nick Minaj sio Nick Minaj hivi,nikaona kabisa kwenye bit kama lile ataleta vibes sana  na ndio maana niliamua kumuweka yeye.

Katika remix ya wimbo huo watakuwepo wasanii kama khaligraph jones, godzilla, rosa ree, izzo business,country boy na wakorintho.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.